Social Icons

Wednesday, January 2, 2013

MASTAA BONGO WAMZUNGUMZIA SAJUKI





Hakika  tukio la kifo cha  nyota wa  filamu nchini Juma Kilowoko limewagusa wengi achili mbali wapenzi wa tasnia  hiyo ambayo kwa sasa  ndiyo imeshika  hatamu katika  ukanda wa nchi za maziwa makuu na kuelekea kwa kasi barani Ulaya
Hapo juu ni nukuu kutoka kwa watu maarufu wakitupia neno kuhusu kifo hicho

No comments:

Post a Comment